KAMA OPTION

KAMA OPTION

KI

KI

eid

eid

Friday, July 20, 2012

JK Na Mama Salma Kikwete Wakitoa Pole Kwa Walio Patwa Na Ajali Ya Meli Zanzibar

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakimsikiliza Bw.  Kitwana Makame Haji, mmoja wa majeruhi walionusurika katika ajali ya meli waliolazwa katika hospitali kuu ya Mnazi Mmoja mjini Unguja.



Rais Jakaya Kikwete akimpa pole Bi Salome Abeli, mfanyakazi wa Tanzania Automic Energy Commission jijini Arusha, aliyekuwa njiani kuelekea Pemba kikazi kabla ya kupatwa na ajali hiyo ya meli. Amesema hali yake inaendelea vyema hapo katika hospitali kuu ya Mnazi Mmoja.





Rais Jakaya Kikwete na Mama Salma Kikwete wakipita mbele ya miili ya waliokufa katika ajali hiyo ya meli jana karibu na kisiwa cha Chumbe. Hapa ni uwanja wa Maisara ambako miili huletwa kwa kutambuliwa.

No comments: