kuduarika
Mhe Balozi Mwenda wa Congo, Mariam na Mhe Musongo wa Tanzania Embassy
mkuu wa majaji Mr Msulwa akielezea vigezo vilivyo tumika kumpata mshindi
katikati mwalimu wa kiswahili chuo cha Soka
mshindi akipokea zawadi iliyotolewa kwa pamoja toka Tanzania na Kenya Embassy ikitolewa na wawakilishi toka kenya na Tanzania Embassy
Balozi wa Congo Mhe Mwenda akitoa zawadi kwa mshindi wa pili
mwakilishi toka ubalozi wa Kenya akitoa zawadi kwa mshindi wa tatu
na wajumbe toka Waseda University Tokyo
3 comments:
Kiswahili kiko juu, sasa ni muda wa kuwafundisha na jirani zetu ili nao waongee kiswahili fasaa
Mammy Hery Uko juu
"Ganda la muwa la jana,nondo kaona mavuno."Wakati hapa Tanzania uwekezaji katika maendeleo ya lugha ya Kiswahili unakosa wadau mahiri na makini huko Japani mambo yanazidi kunoga.HONGERENI SANA WASHINDI WETU NA KARIBUNI SANA TANZANIA KWENYE NYUMBA YA LUGHA YA KISWAHILI.
------------------------------
R.Njau
Mdau na mtetezi wa Lugha ya Kiswahili nchini Tanzania.
-------------------------------
Post a Comment