KAMA OPTION

KAMA OPTION

KI

KI

eid

eid

Sunday, December 13, 2009

Mashindano ya Kiswahili Soka University JP

Mhe Musongo akielezea machache kuhusu kiswahili kabla ya mashindano kuanza







kuduarika

mduara







Mr Msulwa Nhk JP na Mhe Musongo Tz Embassy



Mhe Balozi Mwenda wa Congo, Mariam na Mhe Musongo wa Tanzania Embassy



mkuu wa majaji Mr Msulwa akielezea vigezo vilivyo tumika kumpata mshindi

katikati mwalimu wa kiswahili chuo cha Soka

mshindi akipokea zawadi iliyotolewa kwa pamoja toka Tanzania na Kenya Embassy ikitolewa na wawakilishi toka kenya na Tanzania Embassy


mwakilishi toka Nhk Swahili JP Bakari Msulwa akimpatia mshindi wa kwanza zawadi ya kombe

Balozi wa Congo Mhe Mwenda akitoa zawadi kwa mshindi wa pili


mwakilishi toka ubalozi wa Kenya akitoa zawadi kwa mshindi wa tatu

burudani



waliokuwa washehereshaji wetu


na mamodo wangu


na wajumbe toka Waseda University Tokyo



washindani wakisubiri matokeo


majaji





3 comments:

Bennet said...

Kiswahili kiko juu, sasa ni muda wa kuwafundisha na jirani zetu ili nao waongee kiswahili fasaa

Koero Mkundi said...

Mammy Hery Uko juu

Anonymous said...

"Ganda la muwa la jana,nondo kaona mavuno."Wakati hapa Tanzania uwekezaji katika maendeleo ya lugha ya Kiswahili unakosa wadau mahiri na makini huko Japani mambo yanazidi kunoga.HONGERENI SANA WASHINDI WETU NA KARIBUNI SANA TANZANIA KWENYE NYUMBA YA LUGHA YA KISWAHILI.
------------------------------
R.Njau
Mdau na mtetezi wa Lugha ya Kiswahili nchini Tanzania.
-------------------------------