kweli kama kukosa uhondo basi tumekosa lakini si mbaya tunaangalia picha. Asante dada.
Kuna kanga angalau moja hapo nimeipenda. Nitawezaje kununua? Unaruhusu kadi (visa)? Kazi safi sana na inatia moyo kama nini kuona Watanzania tunavyojitahidi. Hongera sana tena mno!!! Usikate tamaa!!!
Hii ili kuwa shughuli hasa, hadi kijasho chembamba kilikutoka. Hongera sana kwa kujibidiisha.Kazi njema!
Post a Comment
3 comments:
kweli kama kukosa uhondo basi tumekosa lakini si mbaya tunaangalia picha. Asante dada.
Kuna kanga angalau moja hapo nimeipenda. Nitawezaje kununua? Unaruhusu kadi (visa)? Kazi safi sana na inatia moyo kama nini kuona Watanzania tunavyojitahidi. Hongera sana tena mno!!! Usikate tamaa!!!
Hii ili kuwa shughuli hasa, hadi kijasho chembamba kilikutoka. Hongera sana kwa kujibidiisha.
Kazi njema!
Post a Comment