Saturday, May 18, 2013
Monday, May 13, 2013
Tuesday, May 07, 2013
Friday, May 03, 2013
Wednesday, May 01, 2013
Monday, April 22, 2013
Yokohama International Costume Parade
Matembezi ya 61 ya Kimataifa ya Mavazi ya Yokohama (Yokohama International Costume Parade)
Tunapenda kuwatangazia Watanzania wote kuwa matembezi ya kila mwaka ya Kimataifa ya Mavazi ambayo hufanyika katika jiji la Yokohama kwa lengo la kuhamasisha ushirikiano wa mataifa mbalimbali kupitia mila na desturi zao hasa mavazi yatafanyika tarehe 3 au 4 Mei 2013 kutegemea na hali ya hewa.
Matembezi yataanza saa 10:00 kuanzia Yamashita Park, kwa muda wa saa moja. Baada ya matembezi kutakuwa na chakula cha pamoja "Philippines Restaurent" Isesaki -cho.
Kwa ujumbe huu tunaomba Watanzania tujitokeze kwa wingi ili kuendeleza ushikiano ambao umeanza kuimarika kati ya Tanzania na jiji la Yokohama. Ujumbe wa Tanzania katika matembezi haya utaongozwa na Mhe. Balozi Salome Sijaona. Ubalozi utashukuru kupokea majina ya watakaokuwa na nafasi ya kushiriki kupitia anuani zifuatazo:
tzrepjp@gol.com fmossongo@tanzaniaembassy.or.jp jmaleko@tanzaniaembassy.or.jp
Tangazo hili limetolewa na Ubalozi wa Tanzania
Tokyo, Japan
Tarehe 22.04.2013
Sunday, April 21, 2013
Saturday, April 20, 2013
Monday, April 01, 2013
IN LOVING MEMORY AHMED BAWAZIR
IT IS EXACTLY FIVE MONTH SINCE YOU PASSED
AWAY AND LEFT US WITH SORROW, TEARS AND
CONFUSION. WE THANK GOD FOR THE TIME WE
SPENT TOGETHER LAUGHTER, JOY AND YOUR
HANDSOME SMILE.
WE TAKE THIS OPPORTUNITY TO THANK ALL
FRIENDS AND FAMILY FOR COMFORTING
WORKS YOUR HELP ON REGULAR BASIS.
PLEASE JOINT US ON MEMORY FUCTION ON
7TH APRIL 2013
AT RAC-AL Odasaga 4TH FLOW,
17:00 PM
Sunday, March 31, 2013
Taarifa ya Hitma
Ndugu wana Tanzanite (TIJA) na marafiki wote, Kwa niaba ya famillia ya Mzee Bawaziri Napenda kuwa taarifu kuwa kutakuwa na hitima ya Msiba wa Ndugu yetu Ahmed Bawazir aliyefariki12/12/12. Naomba tujumhike wote katika shughuli itakayo fanyika tarehe 7th April 2013 Sas 17:00 (Kumi na Moja Jioni JP Time) Kwenye Ukumbi wa RAC-AL Odasaga. Kufika kwenu ndio kufanikisha shughuli hi. Tunawashukun sane watanzania wote waliojitolee kwa hali na mali katika Msiba wa Ndugu yetu Ahned.



























































