na sisi wanaume je?, usijali kwa kuwa bibi tumemfunga kibwebwe wewe chako kilemba
tunapenda vazi la khanga
kama zionekanavyo
japo upande lakini khanga ipo
mabanda nayo hali kadhalika
hata meza za biashara zilipambwa khanga
zoezi lilikuwa kubwa kidogo karibu kila mmoja alitaka kujifunga khanga
handbag za khanga
(kore wa imi wa nan desuka?) hii ina maana gani?
(ii msg sagashite kudasai) nichagulie yenye ujumbe mzuri
No comments:
Post a Comment