Kaimu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania waishio Nchini Japan akiwa na marafiki zake huko Ishinomaki-Miyagi Prefecture walikokwenda kusaidia kusafisha miji iliyo kumbwa na janga la Tsunami. (nyuma na nyumba iliyo bomolewa kuta na kusafishwa)
moja ya nyumba walizobomoa kuta zilizo haribiwa na mafuriko
wakipata chakula cha usiku katika hoteli waliyo fikia
1 comment:
Hongera sana nivyema kusaidiana na wenyeji wako!
Post a Comment