Wajumbe wa Kamati ya Ukaguzi ya Bunge la Tanzania walifanya ziara ya kikazi nchini Japani. Ujumbe huo uliokuwa na wabunge 10, baadhi yao walipata nafasi ya kutembelea Kampuni ya Rosper International
Baadhi ya wabunge waliotembelea Rosper International Co, Ltd. Japan
Mkurugenzi wa Kampuni ya Rosper International {mwenye mfuko mweupe} akiwasindikiza Wabunge baada ya Ziara yao katika Kampuni ya Rosper International Ltd, Japan.
No comments:
Post a Comment