Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Watanzania Japani, Bw. Julius Mwombeki Jnr akiwa na Bi. Mariam Yazawa wakimsubiri Balozi awasili hotelini kwake
Afisa mwandamizi wa ubalozi wa Tanzania hapa Japani Bw. Elibariki Maleko akimkaribisha mama Balozi alipowasili hotelini kwake jana usiku
Bi. Mariam Yazawa akiwa amejiandaa kumpa shada la maua Balozi Sijaona kama zawadi ya kumkaribisha nchini Japani
No comments:
Post a Comment