Katika mkutano mkuu wa Jumuiya ya Tanzanite uliofanyika leo huko Odakyu Sagamihara, blogu ya jamii imepigwa shavu na uongozi kama njia moja ya kufikisha taarifa muhimu za Jumuiya kwa wananchi. Blogu yenu inashukuru sana kwa imani uongozi wa Jumuiya walioonyesha kwa blogu hii na inaahidi kuendelea kuliendeleza libeneke pia inawashukuru wadau wote wanaotembelea kupata taarifa mbalimbali. Baadaye picha za mkutano wa leo zitawekwa hewani.

Monday, July 20, 2009
Tanzanite Society JP
Blogu ya Jamii yapigwa shavu na Jumuiya

Katika mkutano mkuu wa Jumuiya ya Tanzanite uliofanyika leo huko Odakyu Sagamihara, blogu ya jamii imepigwa shavu na uongozi kama njia moja ya kufikisha taarifa muhimu za Jumuiya kwa wananchi. Blogu yenu inashukuru sana kwa imani uongozi wa Jumuiya walioonyesha kwa blogu hii na inaahidi kuendelea kuliendeleza libeneke pia inawashukuru wadau wote wanaotembelea kupata taarifa mbalimbali. Baadaye picha za mkutano wa leo zitawekwa hewani.
Katika mkutano mkuu wa Jumuiya ya Tanzanite uliofanyika leo huko Odakyu Sagamihara, blogu ya jamii imepigwa shavu na uongozi kama njia moja ya kufikisha taarifa muhimu za Jumuiya kwa wananchi. Blogu yenu inashukuru sana kwa imani uongozi wa Jumuiya walioonyesha kwa blogu hii na inaahidi kuendelea kuliendeleza libeneke pia inawashukuru wadau wote wanaotembelea kupata taarifa mbalimbali. Baadaye picha za mkutano wa leo zitawekwa hewani.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
3 comments:
safi sana,
hayo ndio mambo yanayotakiwa..
keep it up
Nikiwa ni mdau wa blog hii, natoa pongezi kwa hatua hiyo. Vile vile, taarifa unazoweka hapa, na shughuli zako za kutangaza utamaduni wetu kwa njia ya mavazi na kadhalika ni muhimu. Nakutakia mafanikio zaidi na zaidi.
Prof Mbele, Simon Shukran zangu za dhati ziwafikie na nawakaribisha sana karibuni tena na tena
Post a Comment