KAMA OPTION

KAMA OPTION

KI

KI

eid

eid

Tuesday, July 14, 2009

Mdundiko







Ukitaka uhondo wa ngoma jifunge khanga ucheze

4 comments:

Yasinta Ngonyani said...

Mwenzangu nimejaribu kufunga kanga na kucheza, lakini sijafurahia sana kwani inabidi muwe wengi. Natamani ningeungana na hao wenzangu.Hakuna kulala hata kama hujala...lol

chib said...

Sasa hao tuwaite Japanzanians au... :-)

Bennet said...

Hawa ni Wazaramu wa Tokyongongero

mumyhery said...

Yasinta hapo ni wewe tu yaani nimeinama nimeinuka nimeokota kidude, dooli dooli nimeokota kidudeee, Chib, Bennet kazi kwenu kuwatafutia jina, maana yake mimi nikitaja jina maweza sema nimetukana