Sherehe ya Muungano na Kumuaga Mhe Balozi Salome Sijaona iliyofanyka April 26, 2015 katika ubalozi wa Tanzania Nchini Japan uliopo Setagaya, Tokyo nchini Japan
Mhe Balozi Salome Sijaona akipokea zawadi
Abbas Mussa akiwa katika picha ya pamoja na Mhe Balozi Salome Sijaona
Kushoto ni Zawadi Mwimbage na Moza wakiwa katika picha ya pamoja na Mhe Salome Sijaona Balozi wa Tanzania nchini Japani anayemaliza Muda wake
Fidea Kobayashi akiwa katika picha na Mhe Balozi Salome Sijaona
1 comment:
Nimependage ushirikiano wenu, safi sana huu ndio umoja tuuzungumziao.
Post a Comment