KAMA OPTION

KAMA OPTION

KI

KI

eid

eid

Thursday, May 14, 2015

WATANZANIA NCHINI JAPAN WASHEHEREKEA MUUNGANO NA KUMUAGA MHE BALOZI SALOME SIJAONA


Sherehe ya Muungano na Kumuaga Mhe Balozi Salome Sijaona iliyofanyka April 26, 2015 katika ubalozi wa Tanzania Nchini Japan uliopo Setagaya, Tokyo nchini Japan




Mhe Balozi Salome Sijaona akipokea zawadi








Abbas Mussa akiwa katika picha ya pamoja na Mhe Balozi Salome Sijaona



Kushoto ni Zawadi Mwimbage na Moza wakiwa katika picha ya pamoja na Mhe Salome Sijaona Balozi wa Tanzania nchini Japani anayemaliza Muda wake



Fidea Kobayashi akiwa katika picha na Mhe Balozi Salome Sijaona

































































































1 comment:

Yasinta Ngonyani said...

Nimependage ushirikiano wenu, safi sana huu ndio umoja tuuzungumziao.