KAMA OPTION

KAMA OPTION

KI

KI

eid

eid

Tuesday, June 28, 2011

Miss Morogoro 2011‏

Tarehe 01 / 07 / 2011, katika hoteli ya Morogoro Hotel, warembo 15watapanda jukwaani kuwania taji la Miss Morogoro 2011. Shindanolitaanza saa mbili usiku hadi saa sita likishindikizwa na burudanikabambe toka kwa timu nzima ya Tip Top Connection, pamoja na vibwagizobabukubwa toka kwa msanii Wanne Star.Kiingilio kitakua 10,000 Tsh kwa mtu mmoja.




WASHIRIKI WA SHINDANO LA MISS MOROGORO 2011 KWENYE PICHA YA PAMOJA NA WAKUFUNZI WAO, MRATIBU, MKURUGENZI WA FG ARTS PROMOTION, NA WAWAKILISHI WA WADHAMI WAO. AMBAO NI REDDS NA VODACOM TANZANIA.





WASHIRIKI WA SHINDANO LA MISS MOROGORO 2011 KWENYE PICHA YA PAMOJA WAKIPATIWA ELIMU YA MAZINGIRA KUFUATIA KAULI MBIU YA SHINDANO HILO MWAKA HUU, AMBAYO NI “BETTER ENVIROMENT TODAY” (BET).





BAADHI YA WASHIRIKI WA SHINDANO LA MISS MOROGORO 2011 WAKIPATA KIFUNGUA KINYWA KAMBINI MWAO KWENYE HOTELI YA MASUKA VILLAGE MOROGORO.





BAADHI YA WASHIRIKI WA SHINDANO LA MISS MOROGORO 2011 WAKIPATA CHAKULA CHA JIONI KAMBINI MWAO KWENYE HOTELI YA MASUKA VILLAGE MOROGORO.






















No comments: