Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiongea na Katibu Mkuu wa CCM Yusuf Makamba muda mfupi baada ya kumalizika kwa awamu ya kwanza ya mkutano Mkuu wa CCM mjini Dodoma jana jioni Mkutano huo unaendelea leo asubuhi
Mwenyekiti CUF Profesa Ibrahim Lipumba akimpongeza Mwenyekiti wa CCM taifa,Rais Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa ufunguzi wa Mkutano mkuu wa CCM uliofanyika katika ukumbi wa Kizota mjini Dodoma jana.
No comments:
Post a Comment