kumbe kanga inaweza kuwa malighafi hata ya vivazi vya picha ya kwanza/juu? lakini nadhani itakuwa inachubua kunako nanihii
Yaani we acha tu magauni ya kanga mazuri na marefu kama nipendavyo. Halafu na joto hili wee bombi kweli. Dada M nshonee moja:-)
Post a Comment
2 comments:
kumbe kanga inaweza kuwa malighafi hata ya vivazi vya picha ya kwanza/juu? lakini nadhani itakuwa inachubua kunako nanihii
Yaani we acha tu magauni ya kanga mazuri na marefu kama nipendavyo. Halafu na joto hili wee bombi kweli. Dada M nshonee moja:-)
Post a Comment