kanga zina ujumbe anuani. ujumbe uandikwao khangani mara kadhaa huleta na hushamilisha magomvi baina ya mvaaji na mdhamiriwa, au?
heshima yako mamamkwe. nimepita hapa kukusabahi na kukutakia heri ya siku ya wapendanao.
Happy Valentine na kwako pia,khanga zote nzuri sana na zinaujumbe mzuri,nimezipenda kweli,mambo si hayo fikisha ujumbe kwa khanga badala ya card.Imetulia hiyo.Kazi nzuri nakufagilia dada.
sitokaa nikuchukie wala nini labda kama una mpango wa kumpata mwingine ni kivyako vyako tu
Mwaipopo, iwapo msg isemayo Nyumba hujengwa na upendo au Hazina ya nyumba ni upendo inashamirisha ugomvi, basi wewe una asili ya ugonmvi.Fadhy Shukran sana, nawe vuta subira kwani mambo mazuri hayataki haraka si unaona Kamala Lutatinisibwa Lutabasibwa hatokaa achukie!!!Mama Passion si unajua tena biashara matangazo!!!
"Riziki ya Mtu hupangwa na Mungu." Maandishi haya nimeyapenda sana
Post a Comment
6 comments:
kanga zina ujumbe anuani. ujumbe uandikwao khangani mara kadhaa huleta na hushamilisha magomvi baina ya mvaaji na mdhamiriwa, au?
heshima yako mamamkwe. nimepita hapa kukusabahi na kukutakia heri ya siku ya wapendanao.
Happy Valentine na kwako pia,khanga zote nzuri sana na zinaujumbe mzuri,nimezipenda kweli,mambo si hayo fikisha ujumbe kwa khanga badala ya card.Imetulia hiyo.Kazi nzuri nakufagilia dada.
sitokaa nikuchukie wala nini labda kama una mpango wa kumpata mwingine ni kivyako vyako tu
Mwaipopo, iwapo msg isemayo Nyumba hujengwa na upendo au Hazina ya nyumba ni upendo inashamirisha ugomvi, basi wewe una asili ya ugonmvi.
Fadhy Shukran sana, nawe vuta subira kwani mambo mazuri hayataki haraka si unaona Kamala Lutatinisibwa Lutabasibwa hatokaa achukie!!!
Mama Passion si unajua tena biashara matangazo!!!
"Riziki ya Mtu hupangwa na Mungu."
Maandishi haya nimeyapenda sana
Post a Comment