Khanga ya mwisho imepoa kwa rangi zake, nimeipenda sana! Kisha ile ya juu kabisa, ya mwanzo.
Subi mdogo wangu we mkali sana nini?maana yake hiyo khanga ya mwisho msg yake!!!
hapo hapo! Ujumbe mahsusi na usiona longo longo. Si kupenda rangi ya waridi mara harufu yake nzuri lakini kujidai miiba inachoma? ebo, kubali yote na jifunze kukwepa na kuishi na miiba.Asante sana Sister!
Hata mimi nakubaliana na da Subi khanga nzuri sana hizi na maneno yake pia.
Post a Comment
4 comments:
Khanga ya mwisho imepoa kwa rangi zake, nimeipenda sana! Kisha ile ya juu kabisa, ya mwanzo.
Subi mdogo wangu we mkali sana nini?
maana yake hiyo khanga ya mwisho msg yake!!!
hapo hapo! Ujumbe mahsusi na usiona longo longo. Si kupenda rangi ya waridi mara harufu yake nzuri lakini kujidai miiba inachoma? ebo, kubali yote na jifunze kukwepa na kuishi na miiba.
Asante sana Sister!
Hata mimi nakubaliana na da Subi khanga nzuri sana hizi na maneno yake pia.
Post a Comment