Mke wa Rais Mama Salma Kikwete Mwenyekiti wa WAMA akikabidhi Mashine ya Kupimia Saratani ya matiti kwa kina mama kwa Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinizi la Wananchi Luteni Jeneral Samuel Ndomba (kulia) Hafla ya makabidhiano yamakabidhiano hayo ilifanyika kwenye hospital kuu ya Jeshi la Lugalo kwenye Kitengo cha Uzazi na Mtoto kilichoko Mwenge tarehe 27-02-2015
No comments:
Post a Comment