KAMA OPTION

KAMA OPTION

KI

KI

eid

eid

Saturday, June 26, 2010

TANZANITE SOCIETY JP

WORLD CUP

Wanatija mpo?? naona huku ukumbini watu wamekata tamaa kabisa na Team za Africa.

Je mmeona Ghana alivyomtoa Mmarekani kwa kumcharanga 2-1 mbele ya Bill Clinton wao na wengineo. Ghana inatutoa aibu lazima tuwe wazalendo GHANA YEEEEEEEEEEE! !

Samahanini kwani sauti imenikauka kwani shamrashamra za jana usiku zilikuwa babu kubwa kwani niliweza kuangalia mpira huu LIVE katika maeneo ya Ebisu Tokyo kulikuwa na wamarekani kama 6 na sisi wafrika tulikuwa 4 wajapan 12 ukumbi ulikuwa umeenea mbwembwe za wamarekani lakini cha kushangaza wajapan walikuwa wanashangilia Ghana. "eeh eeh ghana suyoi suyoi samorai ghana, samorai ghana eeeeyeeeeeeee" .

Huku wamerekani wakitujibu kwa kututishia kuwa America big nation yeeeey usa, usa, usa yeeee.

Yes!!!!!! mcheza kwao hutunzwa, dispelling America 2-1 yeeee Ghana kiboko yao.
"MIND YOU AFRICA IS THE MOTHER LAND".

Wako,
Sauti ya Mwanamke (Asmah Kobayashi)

No comments: